Monday, March 30, 2020

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia msichana umpendaye kumwambia kuwa utampenda daima

Love SMS For Him: 45 Truly Adorable Love SMSes For Him

nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo
wangu
mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo
lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi
nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo
daima milele.
nakupenda mpz

No comments:

Post a Comment